Matumizi mbegu bora yafika Malagosi, Mgama, Magulilwa
IRINGA: KILIO cha wakulima cha kupata mbegu bora kwa bei nafuu kimeendelea kupata majibu, huku wakulima katika Wilaya ya Iringa wakisema hatua ya serikali ya kusogeza mbegu bora karibu na mashamba yao imewapa matumaini mapya ya kuongeza uzalishaji na kipato. Wakulima hao wamesema upatikanaji wa mbegu bora, ukienda sambamba na matumizi sahihi ya mbolea na …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







