Bandari Dar yahudumia tani milioni 33.7 za mizigo
DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kuongeza uwezo wa kupokea na kuhudumia mizigo kutokana na maboresho ya miundombinu na uwekezaji unaolenga kuongeza ufanisi wa shughuli za bandari. Akizungumza wakati wa ziara ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu katika miradi mbalimbali ya TPA, Mkurugenzi …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







