Sh milioni 769.5 zatumika mradi wa maji Mabira
KYERWA: Wananchi wa vijiji vya Mabira, Omukigando na Nyakatete, Kata ya Mabira wilayani Kyerwa, mkoani Kagera, wameondokana na adha ya kufuata maji umbali mrefu baada ya kukamilika kwa Mradi wa Maji Mabira. Mradi huo umezinduliwa kupitia Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, hatua inayotarajiwa kumaliza changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa maji …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







