Kyerwa yakamilisha jengo la mama na mtoto Rukuraijo
KYERWA: Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera imekamilisha ujenzi wa jengo la Mama na Mtoto katika Zahanati ya Rukuraijo kwa gharama ya Sh milioni 300, fedha zilizotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri. Jengo hilo linatarajiwa kutoa huduma kwa wakazi wa Kata ya Rukuraijo ambao ni zaidi ya 9,000, huku likilenga kupunguza changamoto ya …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







