Friday, 04 September 2026
USD/TZS 2643EUR/TZS 3071
Tanzania Habari za Tanzania · WORLD EUROS
Nº 55 Friday, 04 September 2026
Habari kuu

Wakulima wa mahindi walenga magunia 20 kwa ekari

Wakulima wa mahindi walenga magunia 20 kwa ekari
Vyanzo: habarileo.co.tz

IRINGA: WAKULIMA wa kata ya Magulilwa wilayani Iringa wanatarajia kuongeza uzalishaji wa mahindi kutoka wastani wa gunia tano hadi zaidi ya 20 kwa ekari, baada ya kuanza kupata mbegu bora kwa bei ya ruzuku, hatua wanayoamini itabadilisha uzalishaji na kuongeza kipato cha kaya. Kwa miaka kadhaa, wakulima katika eneo hilo wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya …

Tazama zote — habarileo.co.tz →

Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.