Muleba: Familia mbili zapata mil 4/- za matibabu
KAGERA: Familia mbili wilayani Muleba, mkoani Kagera, ambazo zilikuwa zikikabiliwa na changamoto za matibabu na hali ngumu ya maisha, zimepata msaada wa jumla ya shilingi milioni nne kutoka Taasisi ya Wenfurebe Foundation kupitia Mkurugenzi wake, Simon Patrick Wenfurebe. Msaada huo umetolewa kwa ajili ya kugharamia matibabu ya wagonjwa katika familia hizo, ambao walikuwa wakishindwa kumudu …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







