Monday, 07 September 2026
USD/TZS 2643EUR/TZS 3069
Tanzania Habari za Tanzania · WORLD EUROS
Nº 58 Monday, 07 September 2026
Habari kuu

Mtatifikolo atoa mil 1/- kwa kikundi cha wanawake Isimani

Mtatifikolo atoa mil 1/- kwa kikundi cha wanawake Isimani
Vyanzo: habarileo.co.tz

IRINGA: MBUNGE wa Jimbo la Isimani, Emmanuela Mtatifikolo, ametoa Sh milioni moja kwa kikundi cha wanawake cha Mwangaza Food Point katika Kijiji cha Mboliboli, Tarafa ya Pawaga, jimboni kwake Isimani, ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono kuongeza mtaji na kukuza shughuli zao za kiuchumi. Pamoja na mchango huo, Mtatifikolo aliahidi katika kijiji cha Mbugani kusaidia …

Tazama zote — habarileo.co.tz →

Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.