Chikota azungumzia faida kongani ya viwanda Maranje
MTWARA: MBUNGE wa Jimbo la Nanyamba Mkoani Mtwara Abdallah Chikota amesema uwepo wa ujenzi wa kongani ya viwanda ya korosho iliyopo kijiji cha Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara ni faida kubwa kwa wananchi wa maeneo hayo hasa suala la ajira kwa vijana. Hayo yamejiri leo Septemba 7,2026 wakati mbunge wa jimbo hilo alipotembelea …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







