Mama lishe Kurasini wapatiwa elimu nishati safi
DAR ES SALAAM: MAMA na Baba lishe wa eneo la Kurasini lililopo Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia mkaa mbadala, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha matumizi ya nishati salama. Katika elimu hiyo, washiriki wameelekezwa namna ya kutumia mkaa mbadala ambao unauwezo wa …
Tazama zote — habarileo.co.tz →Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.







