Thursday, 03 September 2026
USD/TZS 2644EUR/TZS 3063
Tanzania Habari za Tanzania · WORLD EUROS
Nº 54 Thursday, 03 September 2026
Habari kuu

Mwinyi : Unganisheni Sauti ya Pamoja

Mwinyi : Unganisheni Sauti ya Pamoja
Vyanzo: habarileo.co.tz

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka nchi wanachama wa Harakati za Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) kuunganisha sauti na misimamo ili kuongeza ushawishi katika maamuzi ya kimataifa na kutetea maslahi ya nchi zinazoendelea.

Tazama zote — habarileo.co.tz →

Zimekusanywa kutoka vyumba vikuu vya habari nchini. Kila habari inaunganishwa na chanzo chake asili.